sw_tn/rev/20/04.md

503 B

Taarifa ya Jumla:

Hii ni sehemu ifuatayo ya maono ya Yohana. Anaelezea kuona ghafla viti vya enzi na roho za waumini.

walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "wale ambao Mungu aliwapa uwezo wa kuhukumu"

ambao walikuwa wamekatwa vichwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "wale ambao vichwa vyao vilikatwa"

kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu

"kwa sababu walizungumza ukweli kuhusu Yesu"

Walikuja uzimani

"walifufuka" au "walikuwa hai tena"