sw_tn/rev/19/06.md

384 B

Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi

Yohana anazungumzia anachokisia kama vile ilikuwa sauti iliyotengenezwa na umati mkubwa sana wa watu, maji mengi wanayotiririka kwa kasi, na ngurumo ya radi kubwa.

Haleluya

Neno hili linamaana "Msifu Mungu" au "Tumsifu Mungu."

Bwana ni

"Kwa sababu Bwana"