sw_tn/rev/16/02.md

383 B

kumwaga bakuli lake

Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"

majeraha mabaya

"majeraha yenye maumivu." Haya yanaweza kuwa maambukizo kutoka kwa magonjwa au majeruhi ambayo hayajapona.

alama ya mnyama

Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama.