sw_tn/rev/11/15.md

782 B

Kauli Unganishi:

Malaika wa mwisho wa wale saba anaanza kupuliza tarumbeta yake.

malaika wa saba

Huyu ni malaika wa mwisho kati ya wale saba. "malaika wa mwisho" au "malaika namba saba"

sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema

Usemi "sauti kubwa" huwakilisha wananenaji wanaozungumza kwa sauti kubwa. "Wasemaji mbinguni wakanena kwa sauti kubwa na kusema"

Ufalme wa dunia

Hapa inamaanisha mamlaka ya kutawala ulimwengu. "Mamlaka ya kutawala dunia"

dunia

Hii inamaanisha kila mtu duniani. "kila mtu duniani"

ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake

Neno "ufalme" hapa linamaanisha mamlaka ya Bwana wetu na Kristo wake waliyonayo kutawala.

Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake

"Bwana wetu na Kristo wake sasa ni watawala wa dunia"