sw_tn/rev/09/07.md

8 lines
352 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Nzige hao hawakufanana kama nzige wa kawaida. Yohana anawazungumzia kwa kueleza jinsi gani sehemu zao zinafanana na vitu vingine.
# mataji ya dhahabu
Hizi zilikuwa kama mashada ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi yaliyopondwa katika dhahabu. Mifano iliyotengenezwa kwa majani walipewa wanariadha washindi kuvaa vichwani.