sw_tn/rev/08/03.md

288 B

autoe

"autoe uvumba kwa Mungu kwa kuuchoma"

mkononi mwa malaika

Hii inamaanizha bakuli katika mkono wa malaika. "bakuli katika mkono wa malaika"

akalijaza moto

Neno "moto" hapa inaweza kumaanisha kuchoma makaa. "akalijaza na makaa yanayowaka" au " akalijaza na makaa ya moto"