autoe
"autoe uvumba kwa Mungu kwa kuuchoma"
mkononi mwa malaika
Hii inamaanizha bakuli katika mkono wa malaika. "bakuli katika mkono wa malaika"
akalijaza moto
Neno "moto" hapa inaweza kumaanisha kuchoma makaa. "akalijaza na makaa yanayowaka" au " akalijaza na makaa ya moto"