sw_tn/rev/07/13.md

700 B

waliovaa kanzu nyeupe

Hizi kanzu nyeupe zilionesha kuwa ni watakatifu.

waliotoka katika dhiki kuu

"wamepona katika dhiki kuu" au "wamepita katika dhiki kuu"

dhiki kuu

"kipindi cha mateso makubwa" au "kipindi ambacho watu watateseka vibaya sana"

Wamezifua kanzu zao na kuzifanya nyeupe kwa damu ya Mwanakondoo

Kufanywa mtakatifu na damu ya Mwanakondoo inazungumziwa kama kufua kanzu zao na damu yake. "Wamefanywa watakatifu kwa kufua nguo zao katika damu yake"

Wamezifua kanzu zao na kuzifanya nyeupe kwa damu ya Mwanakondoo

Neno "damu" inatumika kuonesha kifo cha Mwanakondoo. Kifo chake kinaweza kuzungumziwa vizuri. "Wamefanywa watakatifu kwa kufua nguo zao katika kifo chake"