sw_tn/rev/06/01.md

697 B

Kauli unganishi:

Yohana aendelea kueleza matukio yaliotokea mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Mwanakondoo aanza kufungua mihuri na gombo.

Njoo!

Hii ni amri kwa mtu mmoja, inavyoonekana ni mpanda farasi mweupe anayezungumziwa kwenye mstari wa 2.

akapewa taji

Hii aina ya taji ni mfano wa shada la matawi ya mizeituni na majani laurusi ambazo huwezekana zilipondwa kwenye dhahabu. Mifano ambayo iliundwa kwa majani ilipewa kwa wanariadha washindi kuvaa vichwani mwao. Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "alipokea taji" au "Mungu alimpa taji"

Taji

Hili lilikua shada la matawi ya mzeituni na majani ya laurusi kama mashada ambayo wanariadhaa washindi walivyopokea kipindi cha Yohana.