sw_tn/rev/05/09.md

527 B

Kwa kuwa ulichinjwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kwa kuwa waliwachinja" au "kwa kuwa watu waliwaua"

kuchinjwa

Hii inaweza kumaanisha kutolewa uhai kwa ajili ya sadaka

na kwa damu yako

Kwa sababu damu huashiria uhai wa mtu, kupoteza damu huashiria kufa. Hii inaweza kumaanisha "kwa kifo chako" au "kwa kufa kwako."

ukamnunulia Mungu watu

"Ulinunua watu ili wawe wa Mungu" au "ulilipia gharama ili watu wawe wa Mungu"

wa kila kabila, lugha, jamaa na taifa

Hii humaanisha watu kutoka kila kabila.