sw_tn/rev/03/19.md

647 B

kuwa mkweli na utubu

"kuwa makini na utubu"

nasimama katika mlango na kubisha

Yesu anazungumzia watu kutaka kuhusiana naye kama vile wanataka kumkaribisha nyumbani mwao. "Mimi ni kama yule asimamaye mlangoni akibisha hodi"

na kubisha

Watu hubisha hodi wakitaka kukaribishwa kwenye nyumba ya mtu. "na ninataka mniruhusu niingie ndani"

asikiaye sauti yangu

Msemo wa "sauti yangu" huonesha Yesu akizungumza. "anayesikia nikizungumza" au "anayesikia nikiita"

nitakuja na kuingia nyumbani kwake

Lugha zingine zinaweza kupendelea kitenzi cha "nenda". "Nitaenda nyumbani kwake"

na kula naye

Hii huonesha kuwa pamoja kama marafiki.