forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
463 B
Markdown
12 lines
463 B
Markdown
# yeye ashindaye
|
|
|
|
hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
|
|
|
|
# nguzo katika hekalu la Mungu wangu
|
|
|
|
"Nguzo" inaonesha kuwa sehumu muhumi na ya kudumu katika ufalme wa Mungu. "imara kama nguzo katika ufalme wa Mungu wangu"
|
|
|
|
# Mwenye sikio asikie
|
|
|
|
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"
|