sw_tn/rev/02/16.md

739 B

Basi tubu

kwa hiyo tubu

usipofanya hivyo

"usipotubu"

nitafanya vita dhidi yao

"kupigana dhidi yao"

kwa upanga utokao katika kinywa changu

Hii humaanisha upanga katika 1:14. Ingawa alama za lugha za ufunuo kawaida hazitakiwi kutafsiriwa, watafsiri wanaweza kuchagua kama waifafanue hii alama kama alama ya neno la Mungu, kama UDB ilivyofanya. Hii alama inaonesha kwamba Kristo atawashinda maadui zake kwa kutoa amri tu.

Mwenye sikio na askie

Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"

Yeye ashindaye

Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"