forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
442 B
Markdown
16 lines
442 B
Markdown
# Wanikolai
|
|
|
|
Watu waliofuata mafundisho ya mtu aitwaye Nikolai
|
|
|
|
# Mwenye sikio asikie
|
|
|
|
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"
|
|
|
|
# Na kwa yule ashindaye
|
|
|
|
Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
|
|
|
|
# paradiso ya Mungu
|
|
|
|
"Bustani ya Mungu". hii ni ishara ya mbinguni.
|