sw_tn/rev/02/06.md

16 lines
442 B
Markdown

# Wanikolai
Watu waliofuata mafundisho ya mtu aitwaye Nikolai
# Mwenye sikio asikie
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"
# Na kwa yule ashindaye
Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
# paradiso ya Mungu
"Bustani ya Mungu". hii ni ishara ya mbinguni.