sw_tn/psa/149/008.md

343 B

minyororo

Hizi zinaundwa na vyuma vizito na zinazuia kusogea kwa mfungwa.

pingu

Kitu cha miduara miwili kilicho tengenezwa na chuma na mnyororo katikati yake zinazozuia kusogea kwa miguu au mikono ya mfungwa.

watatekeleza hukumu iliyoandikwa

kufanya kile ambacho Yahwe alimwambia Musa kuandika ili watu wafanye kwa wale wenye hati.