forked from WA-Catalog/sw_tn
484 B
484 B
Alitangaza neno lake kwa Yakobo, sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli
Mistari hii miwili inamaana moja na inasisitiza kuwa Yahwe alitoa sheria yake kwa Israeli pekee.
sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli
"Alitangaza sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli"
sheria zake na amri zake za haki
Maneno "sheria" na "amri za haki" pamoja na "neno" katika mstari uliopita, yote yanamaanisha sheria ya Musa.
hawazijui
Mataifa mengine hayajui amri za Yahwe.