sw_tn/psa/147/019.md

484 B

Alitangaza neno lake kwa Yakobo, sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli

Mistari hii miwili inamaana moja na inasisitiza kuwa Yahwe alitoa sheria yake kwa Israeli pekee.

sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli

"Alitangaza sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli"

sheria zake na amri zake za haki

Maneno "sheria" na "amri za haki" pamoja na "neno" katika mstari uliopita, yote yanamaanisha sheria ya Musa.

hawazijui

Mataifa mengine hayajui amri za Yahwe.