sw_tn/psa/147/012.md

837 B

Yerusalemu ... Sayuni

Mwandishi anazungumzana Yerusalemu, ambayo pia aniita Sayuni, kana kwamba ni mtu. Majina ya mji ni njia nyingine ya kuwaita watu wanaoishi humo. "watu wa Yerusalemu ... watu w Sayuni"

Kwa kuwa huimarisha vyuma vya malango yako

Msemo "vyuma vya malango yako" unawakilisha mji kwa ujumla. Yahwe ataifanya Yerusalemu kuwa salama kutoka kwa uvamizi wa adui. "Kwa kuwa huilinda Yerusalemu"

huwabariki ... miongoni mwenu

Mwandishi anawazungumzia wanaoishi Yerusalemu kana kwamba ni watoto wa Yerusalemu. "huwabariki wale wanaoishi Yerusalemu"

Huleta mafanikio

"Huleta amani." Maana zinazowezekana ni 1) Yahwe husababisha watu wanaoishi Yerusalemu kufanikiwa kwa mali na kwa fedha au 2) neno lililotafsiriwa kama "mafanikio" linamaanisha "amani" na Yahwe huitunza yerusalemu dhidi ya mashambulizi ya adui.