sw_tn/psa/147/006.md

389 B

Yahwe huwainua waliokandamizwa

Mwandishi anazungumzia yahwe kuwapa heshima wale walio kandamizwa kana kwamba Yahwe alikuwa akiwainua kutoka ardhini. "Yahwe huwapa heshima walio kandamizwa"

huwaleta waovu chini ardhini

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaaibisha waovu kana kwamba Yahwe alikuwa akiwalazimisha kulala ardhini. "huwaaibisha waovu"

kwa kinubi

"huku wakicheza kinubi"