sw_tn/psa/139/023.md

513 B

Nichunguze

Hili ni ombi kwa Mungu kumwambia mwandishi wa zaburi kuhusu mawazo yoyote ya dhambi anayoweza kuwa nayo. "Tafadhali nichunguze" au "Nakuomba unichunguze"

Nichunguze, Mungu, na ujue moyo wangu; nijaribu na ujue mawazo yangu

Sentensi hizi mbili zinamaana ya kufanana. Sentensi ya pili inaimarisha wazo la ya kwanza.

njia yoyote ya uovu

Hapa "njia" inamaanisha tabia.

njia ya milele

Hapa "njia" inamaanisha kumtumaini na kumtii Mungu. Yeyote "anayetembea" hivi atakuwa na maisha ya milele.