sw_tn/psa/137/008.md

485 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anawahutubia watu wa Babeli kana kwamba wanamsikiliza.

Binti wa Babeli

Hii inamaanisha mji wa Babeli na watu wake.

na mtu abarikiwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu ambariki mtu"

anayekulipa kwa kile ulichokifanya kwetu

Mwandishi anazungumzia mtu kuwatendea wengine alichotendewa kana kwamba ni malipo. "kufanya kwako ulichofanya kwetu"

kuwaseta wadogo wenu kwenye mwamba

"kuponda vichwa vya watoto wenu kwenye miamba"