sw_tn/psa/136/021.md

278 B

alituita akilini

"alituwaza"

kutusaidia katika aibu yetu

Hali ya kuhisi aibu inazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo Waisraeli walikuwepo. Hii kumbukumbu ya nyakati nyingi ambapo adui wa israeli walishindwa katika vita na kuwaaibisha. "kutujali wakati tulipoaibishwa"