sw_tn/psa/135/012.md

317 B

Alitupa nchi yao kama urithi

Zawadi ya Mungu ya nchi kwa Wasiraeli inazungumziwa kana kwamba ni urithi kutoka kwa baba kwenda kwa mwana. "Alitupa nchi yao kuwa nayo milele" au "Alitupa nchi yao kuwa yetu milele"

Jina lako

Jina lake hapa linawakilisha umaarufu wake au sifa yake. "Umaarufu wako" au "Sifa yako"