sw_tn/psa/119/175.md

347 B

amri zako za agano zinisaidie

Mwandishi anazungimzia amri za Yahwe kana kwamba ni mtu anayeweza kumsaidia. "naomba nisikilize amri zako za haki ili niwe na hekima na thabiti"

Nimezurura kama kondoo aliyepotea

"nimeacha njia yako kama kondoo aliyeacha kundi lake"

mtafute mtumishi wako

"kwa sababu mimi ni mtumishi wako, njoo unitafute"