sw_tn/psa/119/171.md

8 lines
373 B
Markdown

# Midomo yangu imwage sifa
Mwandishi wa zaburi anazungumzia midomo yake kana kwamba ni chombo na ni kimiminiko kinachoweza kumwagwa. Hapa neno "midomo" ni neno lingine linalowakilisha mtu mzima. "Ninatamani kukusifu sana"
# ulimi wangu uimbe
Mwandishi anazungumzia ulimi wake aidha 1) kana kwamba ni mtu au 2) kama neno lingine la kuwakilisha yeye mzima. "mimi naimba"