forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
373 B
Markdown
8 lines
373 B
Markdown
# Midomo yangu imwage sifa
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anazungumzia midomo yake kana kwamba ni chombo na ni kimiminiko kinachoweza kumwagwa. Hapa neno "midomo" ni neno lingine linalowakilisha mtu mzima. "Ninatamani kukusifu sana"
|
|
|
|
# ulimi wangu uimbe
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia ulimi wake aidha 1) kana kwamba ni mtu au 2) kama neno lingine la kuwakilisha yeye mzima. "mimi naimba"
|