sw_tn/psa/119/129.md

628 B

PE

Hili ni jina la herufi ya kumi na saba ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 129-136 unaanza na herufi hii.

Ufunuo wa maneno yako hutoa mwanga

Mwandishi anazungumzia neno la Yahwe kana kwamba maneno hayo nikitambaa kilichokunjwa, na mtu anayefafanua maneno ya Yahwe kana kwamba wanafunua hicho kitambaa. "Ufafanuzi wa maneno yako hutoa mwanga" au "Mtu akifafanua maneno yako, hutoa mwanga"

Ufunuo wa maneno yako hutoa mwanga

Mwandishi anazungumzia maneno ya Yahwe kutoa hekima na mtu kana kwamba maneno yanatoa mwanga kwao. "Ufafanuzi wa maneno yako huwapa watu hekima"