sw_tn/psa/119/119.md

533 B

Unawaondoa waovu wote duniani kama takataka

Hapa "takataka" ni yale mabaki yanayobaki wakati wa kusafisha dhahabu au madini mengine ya chuma. Yahwe anawaondoa watu waovu kana kwamba ni takataka.

waovu

"watu waovu"

kama takataka

"kama uchafu"

Mwili unatetemeka kwa kukuogopa wewe

Hapa "mwili" unawakilisha mtu mzima. "Ninatetemeka kwa sababu ninakuogopa"

ninaogopa amri zako za haki

Inadokezwa kwamba mwandishi anaogopa amri za haki za Mungu kwa sababu Mungu anajua kuwa Mungu huwaadhibu wale wanaokaidi amri zake.