sw_tn/psa/119/113.md

808 B

SAMEKHI

Hili ni jina la herufi ya kumi na tano ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 113-120 unaanza na herufi hii.

wenye akili mbili

Mtu asiye mkweli na kuwa na msimamo wa kumtii Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mwenye akili mbili. "wasio na msimamo kabisa wa kukutii wewe" au "wasio wakweli"

maficho yangu

Mungu kumfanya mwandishi salama kunazungumziwa kana kwamba Mungu ni sehemu ambayo mwandishi anaweza kwenda na kujificha.

ngao yangu

Mungu kumlinda mwandishi kunazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa ni ngao ya mwandishi.

nasubiri neno lako

Hapa "kusubiri" inamaanisha kusubiri kwa kutarajia. Hii ina wazo la kutumaini au kuamini. "ninatumaini neno lako"

neno lako

Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana kwa watu.