sw_tn/psa/119/111.md

671 B

Ninadai amri zako za agano kama urithi wangu milele

Mwandishi kutunza na kutii amri za Mungu inazungumziwa kana kwamba amri ni nchi au mali ambayo mwandishi atarithi. "Sheria zako zitakuwa zangu milele" au "Amri zako za agano ni kama urithi nitakaoutunza milele"

ni furaha ya moyo wangu

Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "zinanifanya kuwa na furaha" au "ninazifurahia'

Moyo wangu uko tayari kutii

Hapa "moyo" unawakilisha nia ya mwandishi. Msemo "Moyo wangu uko tayari" ni lahaja. Ni njia ya kusema mwandishi amekusudia. "Nimekusudi kutii"

hadi mwisho

Maana zinazowezekana ni 1) "kila moja" 2) "hadi mwisho wa maisha yangu" au 3) "hadi mwisho wa wakati"