sw_tn/psa/119/107.md

350 B

kwa ulivyoahaidi katika neno lako

Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana na watu. "kama ulivyoahidi kufanya"

sadaka za kujitolea za mdomo wangu

Mwandishi anazungumzia ombi lake kana kwamba lilikuwa ni sadaka aliyokuwa akiitoa kwa Mungu. "ombi langu kama sadaka kwako"

za mdomo wangu

Hapa "mdomo" unawakilisha mtu mzima.