sw_tn/psa/119/105.md

538 B

NUN

Hili ni jina la herufi ya kumi na nne ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 105-112 unaanza na herufi hii.

Neno lako ni taa miguuni mwangu na nuru njiani mwangu

Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Inazungumza kuhusu Mungu kumwambia mtu jinsi ya kuishi kana kwamba mtu alikuwa akitembea katika njia na neno la Mungu ni nuru inayomsaidia mtu kuona anapoenda. "Maneno yako yananieleza jinsi ya kuishi"

Neno lako

Hapa "neno" linawakilisha yote ambayo Mungu anwasiliana na watu.