sw_tn/psa/119/095.md

340 B

nitatafuta kuelewa

"nitajaribu sana kuelewa"

kila kitu kina mipaka yake

"vitu vyote vina mwisho"

amri zako ni pana, zaidi ya mipaka

Amri za Mungu daima kuwa kweli na hakika zinazungumziwa kana kwamba amri za mungu ni kitu kilicho kipana sana hadi hakina mwisho. "lakni amri zako hazina mipaka" au "lakini amri zako ni za milele"