sw_tn/psa/119/089.md

658 B

LAMEDI

-Hili ni jina la herufi ya kumi na mbili ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 89-96 unaanza na herufi hii.

maneno yako milele

Hapa "neno" linawakilisha chochote ambacho Mungu amewasilisha kwa watu. "kile ulichosema kitakuwa kweli milele"

neo lako linawekwa thabiti mbinguni

Hapa "neno" linawakilisha chochote ambacho Mungu amewasilisha kwa watu. Hii inazungumzia kuhusu kile ambacho Mungu amesema kana kwamba ni chombo kinachoweza kusimama imara wima. "kile ulichosema kitakuwa cha kweli mbinguni milele"

kwa vizazi vyote

"kwa vizazi vyote vya baadaye." Hii ni lahaja inayomaanisha "milele"