sw_tn/psa/119/071.md

220 B

Maagizo kutoka mdomoni mwako ni

Hapa "mdomo" unawakilisha anachosema Mungu. "Maagizo uliyozungumza ni" au Maagizo yako ni"

ya maelfu ya vipande vya dhahbu na shaba

"ya kiasi kikubwa cha fedha" au "utajiri mkubwa"