sw_tn/psa/119/067.md

250 B

Kabla sijateseke

"Kabla haujanitesa" au "Kabla haujaniadhibu"

nilipotoka

Kumkaidi Mungu inazungumziwa kana kwamba mtu anatembea katika njia isiyofaa. "Sikukutii wewe"

ninafuata neno lako

Hapa "neno" linawakilisha amri. "ninatii amri zako"