sw_tn/psa/119/057.md

394 B

HETHI

Hili ni jina la herufi ya nane ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 57-64 unaanza na herufi hii.

Yahwe ni sehemu yangu

Hii inamaana kuwa Yahwe ndio kitu pekee anachotaka. Kama ambavyo Walawi hawapati maeneo makubwa ya nchi kwa kuwa Bwna ndiye alipaswa kuwa sehemu yao, kwa hiyo mwandishi anatamka kuwa Yahwe ni anayerithisha hamu zake.