sw_tn/psa/119/055.md

264 B

Nafikiria kuhusu jina lako

Hapa neno "jina" linamwakilisha Yahwe mwenyewe. "Nakuwaza, Yahwe"

natunza sheria yako

Hii ni lahaja inayomaanisha kutii sheria. "Ninatii sheria yako"

zoezi langu

"tabia yangu"

nimefuata maagizo yako

"Nimetii maagizo yako"