sw_tn/psa/119/035.md

535 B

Niongoze katika njia ya amri zako

"Niongoze kulingana na amri zako" au "Nifundishe kutii amri zako." Amri za Mungu zinalinganishwa na njia ambayo mtu anatembea akimtii Mungu.

Ongoza moyo wangu kuelekea

Hii ni lahaja. "Moyo" hapaunamaanisha nia, hamu, na maamuzi yanayoongoza maisha ya mtu. "Unifanye nitake"

amri zako za agano

"kutii amri zako za agano." Hii inamaanisha kutii amri za Musa.

kuongezeka pasipo haki

"hamu ya utajiri." Hii inamaanisha utajiri unaopatikana kwa njia zisizo sawa au kuwatendea ubaya wengine.