sw_tn/psa/118/029.md

12 lines
196 B
Markdown

# O
Huu ni mshangao.
# mpeni Yahwe shukrani; kwa kuwa ni mwema
"Mshukuruni Yahwe kwa mambo mema ambayo huwa anafanya"
# uaminifu wake wa aganounadumu milele
"anatupenda kwa uaminifu milele."