sw_tn/psa/116/016.md

545 B

Taarifa ya Jumla:

Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza.

mwana wa mtumishi wako mwanamke

Hii inawezekana kuwa mrejeo wa mama yake mwandishi na inaashiria kuwa alimwabudu Yahwe kwa uaminifu. Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "kama mama yangu alivyokuwa"

umenitolea pingu zangu

Mwandishi anazungumzia kuwa hatarini kufa kana kwamba alikuwa amefungwa gerezani."umeniokoa na kifo"

sadaka ya shukrani

"sadaka kuonesha shukrani yangu"

kuliita jina la Yahwe

Hapa neno "jina" linamwakilisha Yahwe mwenyewe. "kumwita Yahwe"