sw_tn/psa/115/017.md

608 B

Wafu

Kivumishi "wafu" kinaweza kutafsiriwa na msemo wa nomino. "Watu waliokufa"

wala yeyote anayeenda chini palipo nyamaza

Msemo huu wa usambamba unamaana sawa na msemo uliopita. Kitenzi kinaweza kuwekwa kutoka kwenye msemo uliopita kuweka maana yake wazi. "wala yeyote aendaye chini palipo nyamaza kumsifu Yahwe"

wala yeyote anayeenda chini kunyamaza

Mwandishi anazungumzia kaburi au sehemu ya wafu kama sehemu iliyo nyamaza ambapo hakuna awezaye kuzungumza. Hii ni tasifida ya kifo. "wala yeyote anayeenda sehemu ya wafu"

Lakini sisi

Neno "sisi" linamaanisha watu wa Israeli walio hai bado.