sw_tn/psa/115/015.md

8 lines
268 B
Markdown

# Na mbarikiwe na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi, awabariki"
# dunia amempa mwanadamu
Hii haimaanishi kuwa dunia si mali ya Yahwe, lakini amewapa binadamu dunia kama sehemu ya makao.