sw_tn/psa/115/007.md

608 B

Hizo sanamu zina midomo

Sanamu hazina midomo ya kweli, macho, maskio, au pua za kweli. Lakini, watu wamewaunda na mifano ya midomo, macho, maskio, na pua. Mwandishi anasisitiza kuwa sanamu haziko hai kweli. "Watu wamezipa midomo hizo sanamu"

lakini hawahisi

"lakini mikono hio haihisi"

Wale wanaozitengeneza ni kama hizo sanamu, kama alivyo kila mtu anayezitegemea

Wale wanaounda na kuabudu sanamu wanakuwa bila uhai na wasio na nguvu , kama hizo sanamu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Wale wanaozitengeneza wanakosa uhai kama hizo sanamu, kama watu wengine wote wanaozitumaini"