sw_tn/psa/113/005.md

300 B

Ni nani kama Yahwe Mungu wetu ... duniani?

Mwandishi anauliza swali kusisitiza kuwa hakuna mtu kama Yahwe. Hili swali la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hakuna kama Yahwe Mungu wetu ... duniani."

aliye na kiti chake juu

"aliyesimikwa juu" au "anayetawala katika nafasi ya juu zaidi"