sw_tn/psa/112/008.md

411 B

Taarifa ya Jumla:

Mtu anayeimba wimbo huu anaendelea kumwelezea mtu anaye mheshimu sana Yahwe.

Moyo wake ni tulivu

"Moyo wake umethibitika." Hapo neno "moyo" inaashiria mtu. Maana zinazowezekana ni 1) "yuko na amani" au 2) "Anajiamini"

haki yake hudumu milele

"matendo yake yatadumu milele."

atatukuzwa na heshima

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atamtukuza kwa kumpa heshima"