sw_tn/psa/110/007.md

691 B

Atakunywa kwenye kijito njiani

Mfalme anasimama kidogo tu kwa ajili ya kinywaji na kisha anaendelea kuwafuatilia adui zake. "Akiwa anawafuatilia adui zake, atasimama tu kunywa kwenye kijito"

kwenye kijito

Hii inamaanisha kuwa atakunywa maji kutoka kwenye kijito. Kijito ni mto mdogo. "atakunywa maji kutoka kwenye kijito"

na kisha

"kwa hiyo"

atainua kichwa chake

Maana zinazowezekana ni 1) mfalme anainua kichwa chake mwenyewe au 2) Yahwe anainua kichwa cha mfalme.

atainua kichwa chake juu baada ya ushindi

Watu waliinua vichwa vyao walipokuwa washindi, walipojiamini na walipokuwa wenye furaha. "atainua kichwa chake kwa kujiamini baada ya ushindi" au "atakuwa mshindi"