sw_tn/psa/107/039.md

714 B

Walipunguzwa

Wanaozungumziwa hapa ni watu waliokuwa na njaa na Yahwe kuwatuliza katika nchi. Sentensi hii inaeleza jinsi walivyokuwa kabla ya Yahwe kuwatuliza katika nchi.

Walipunguzwa na kuletwa chini

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. Viongozi wao walipunguza idada yao na kuwaleta chini"

Walipunguzwa

"wakawa wachache kwa idadi"

kuletwa chini

Hiiinamaanisha kuaibishwa. "kuaibishwa"

Humwaga dharau

Hapa Daudi anazungumzia Yahwe kuwaonesha dharau viongozi kana kwamba dharau ni kuletwa chini alichowamwagia. "kuwaonesha dharau"

kwa viongozi

"wakubwa." Hii namaanisha viongozi waliowakandamiza watu. "viongozi waliowakandamiza"

ambapo hakuna mabarabara

"ambapo watu hawaendi"