sw_tn/psa/107/033.md

348 B

Anageuza

"Yahwe anafanya"

kwa sababu ya uovu wa watu wake

"kwa sababu watu wanaoishi hapo ni waovu"

Anageuza jangwa kuwa bwawa la maji na nchi kavu kuwa chechemi za maji

Misemo hii yote miwili ina maana ya kufanana na inasisitiza jinsi Yahwe anavyofanya maji yatokee jangwani. "Hufanya chemchemi na maziwa katika ardhi iliyokuwa jangwa"