sw_tn/psa/107/014.md

713 B

Akawatoa

"Yahwe akawaleta wale walikuwa gerezani"

gizani na kwenye utusitusi

"Gizani" na "utusitusi" zina maana sawa na zinatumika kusisitiza jinsi gereza lilivyokuwa giza. "katika giza kabisa"

O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano

"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu.

Kwa kuwa

"Kwa sababu"

Kwa kuwa amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma

Misemo hii miwili inaelezea Yahwe anavyowafungua watu kutoka gerezani na inatumika kusisitiza kwamba Yahwe kweli aliwaweka huru. "Aliwaweka huru watu wake kutoka gerezani"