sw_tn/psa/107/008.md

811 B

O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano

"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu.

wanadamu

"watu"

Kwa kuwa anaridhisha hamu za wale walio na kiu

"Kwa kuwa anawapa maji wanaotamani - kwa wale walio na kiu"

na hamu za wale walio na njaa anawajaza na vitu vizuri

"na kwa wale walio na njaa sana na hamu ya chakula, anawapa vitu vizuri vya kula"

kwa wanadamu

"kwa watu wote"

Baadhi waliketi

Inadokezwa kwamba hawa ni watu ambao Yahwe aliwaokoa. "Yahwe pia aliwaokoa watu walioketi"

gizani na kwenye utusitusi

"Gizani" na "utusitusi" zina maana sawa na zinatumika kusisitiza jinsi gereza lilivyokuwa giza. "katika giza kabisa"