forked from WA-Catalog/sw_tn
313 B
313 B
Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake ... akawadharau watu wake mwenyewe
"Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake na akawadharau"
Akawakabidhi katika mkono wa mataifa
Hapa "mkono" una maana ya uwezo na utawala. "Mungu aliruhusu mataifa kuwatawala"
wale waliowachukia
"watu waliowachukia"