sw_tn/psa/106/040.md

313 B

Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake ... akawadharau watu wake mwenyewe

"Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake na akawadharau"

Akawakabidhi katika mkono wa mataifa

Hapa "mkono" una maana ya uwezo na utawala. "Mungu aliruhusu mataifa kuwatawala"

wale waliowachukia

"watu waliowachukia"