sw_tn/psa/106/037.md

493 B

Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana wao na binti zao

Msemo "kumwaga damu" ni tasifida inayoelezeka kutumika kwa ajili ya "mauaji". "Walimwaga damu isiyo na hatia walipowaua wana na binti zao"

Walinajisiwa kwa matendo yao

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Matendo yao yaliwachafua"

katika matendo yao wakawa kama kahaba

Hapa Daudi analinganisha kutokuwa waaminifu kwao kwa Yahwe kwa kutokuwa waaminifu kwa kahaba. "walikuwa hawana uaminifu kwa Yahwe kama kahaba"